Rushwa muhali bado ni tatizo kukomesha vitendo vya Udhalilishaji.

 





Licha ya juhudi mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali pamoja na Asasi za kiraia kuielimisha Jamii madhara ya Udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto  na jinsi ya kutoa ushahidi kwa kesi hizo lakini bado inaonekana matendo hayo  yanaendelea kujitokeza  kutokana na Muhali uliopo kwa Wanajamii.

Hayo yamesema na wajumbe wa Mtandao wa  kupinga Udhalilishaji kutoka Wilaya ya Mkoani  katika kikao  cha uwasilishaji wa ripoti za utekelezaji wa majukumu yao ya kutoa Elimu  juu ya madhara ya Udhalilishaji wa Kijinsia kwa Jamii huko ukumbi wa Chama cha Wandishi wa habari Wanawake Tanzania Zanzibar  [ Tamwma]  Mkanjuni Chake chake Pemba. Wanajamii hao.

Wamesema Jamii inaonekana kuyafumbia macho na kuyafanyia suluhu Mitaani matendo ya udhalilishaji jambo ambalo linasababisha kuongezeka sikuhadi siku.

Aidha wameeleza kuwa kuwepo  kwa umasikini uliokithiri imedaiwa kuwa ni moja ya sababu inayopelekea kuongezeka  kwa udhalilishaji kwa Watoto





Comments

Popular posts from this blog

UTELEKEZAJI WA WANAWAKE UNAVYOKATISHA NDOTO ZA WATOTO.

Mkuu wa Polisi Jamii Kaskazini Pemba akerwa na wanao wafungia ndani watoto wenye ulemavu.

Mrajisi wa Mahakama Zanzibar ahidi kula sahani moja na Mahakimu wasio wadilifu.