Posts

NAJIVUNIA KUONA WANANCHI WA MJINI KIUYU WAKIKANYAGA BARABARA YA LAMI

Image
                                          NA FATMA HAMAD, PEMBA                                                                                                                             ‘’Ama kweli mwenye kutafuta haachi kupata’’ Msemo huo umesadilifu kwa Nassra  Salim Mohamed Diwani mstaaf wa wadi ya Kiuyu Minungwini wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba. MAISHA YA NASRA Baada ya kuzaliwa  1969, Nasra alianza kuisaka haki ya elimu ya msingi mwaka 1976 katika skuli ya msingi Piki wilaya Wete. Akiwa darasani, Nasra hakuwa mtulivu na jinsia yake ya kike, wak...

ALIANZIA UWAZIRI WA WANAWAKE NA WATOTOU WA SERIKALI YA WANAFUNZI NA SASA UKATIBU TAWALA

Image
              NA FATMA HAMAD,PEMBA   ‘’Sitoisahau siku nilioteuliwa nafasi ya  Ukatibu Tawala’’. Hayo ni maneno ya Bi Mkufu Faki Ali (51) ambae ni Katibu tawala wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba Kwa hofu aliokua  nayo mwanzoni nafasi hiyo hakuifurahia, kwani alihisi ni nafasi kubwa kwake. ‘’Watu wakipata uteuzi huwa wanafurahia, ila sikufichi  mimi sikuile ya  mwanzo nilishindwa hata kula nilikua nikilia,’’anasema. Aliteuliwa Octoba 2017 kipindi hicho alikua mfanya kazi wa Tume ya Uchaguzi  wilaya Wete Kaskazini Pemba. Nafasi hiyo ilimuia vigumu, kwani ilikua bado ni mdogo, akiangalia anaowaongoza anaona wengine ni watu wanaomzidi na anaowaheshimu ‘’Nilipokua Chuoni nilikuwa Waziri wa Wanawake na watoto na niliiweza, hivyo nikajipa moyo na hiyi nitaiweza,’’alifahamisha. Mwana mama huyo aliezaliwa mwaka 1973, kijiji cha Utaani, kwasa anaishi Kizimbani wilaya ya Wete, Safari yake ya utumishi, ilianzia katika taaluma ya ...

VIONGOZI WANAWAKE NA TISHIO LA UDHALILISHAJI

Image
                                  NA FATMA HAMAD, PEMBA   Wakati taifa likijivunia ongezeko la wanawake katika nafasi za maamuzi, changamoto ya udhalilishaji wa kijinsia inaendelea kuwa kikwazo kinachowakatisha tamaa wanawake wengi kuingia katika siasa na uongozi.   Matusi ya mitandaoni, kejeli zinazolenga mwonekano, vitisho, lugha ya kudhalilisha na propaganda zinazolenga jinsia badala ya uwezo wa kiongozi zinaendelea kushamiri.   Licha ya kwamba hata Raisi wa Tanzania ni mwanamke bado wapo baadhi ya wanajamii wamekua na  mitazamo tofauti dhidi ya viongozi wanawake kwa kutokana na jinsia zao.   Wadau wa haki za binadamu wanaonya kuwa idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi kwa sababu matukio mengi hayaripotiwi kutokana na hofu, aibu au mila zinazowazuia waathirika kuzungumza.   WENYEWE VIONGOZI WANAWAKE WANASEMAJE JUU YA HILI   Mkufu Faki Ali ni Katibu taw...