NAJIVUNIA KUONA WANANCHI WA MJINI KIUYU WAKIKANYAGA BARABARA YA LAMI
NA FATMA HAMAD, PEMBA ‘’Ama kweli mwenye kutafuta haachi kupata’’ Msemo huo umesadilifu kwa Nassra Salim Mohamed Diwani mstaaf wa wadi ya Kiuyu Minungwini wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba. MAISHA YA NASRA Baada ya kuzaliwa 1969, Nasra alianza kuisaka haki ya elimu ya msingi mwaka 1976 katika skuli ya msingi Piki wilaya Wete. Akiwa darasani, Nasra hakuwa mtulivu na jinsia yake ya kike, wak...