WANAOFANYA MITIHANI WAONYWA
Wanafunzi wanaofanya mitihani ya Taifa wameonywa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu wakati wakiwa katika mitihani yao ambavyo
vitapelekea kufutiwa kwa
matokeo yao.
Nasaha hizo zimetolewa na mbunge mstaafu wa jimbo la Kiwani Abdala
Haji Ali katika hafla ya kuwaaga na kuwaombea duwa wanafunzi wanaofanya
mitihani ya taifa huko Skuli ya Chambani
wilaya ya Mkoani mkoa wa Kusini Pemba.
Amesema nidhamu
ni moja ya sababu inayomfanya mwanafunzi kufanya vizuri hivyo ni vyema
wawe na juhudu ya hali juu kwenye masomo
ili muweze kuja kufaulu mitihani yao.
,,Niwasihi watahiniwa muwe na nidhamu ya hali ya juu msije mkakiuka
sharia za mitihani kwani itakuja kuwa kulio kwenu’’ alisema mbunge mstaafu.
Akisoma risala mwanafunzi wa skiuli hiyo mwanafunzi
Ali Khamis amesema skuli yao inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo
uhaba wa walimu
wanaofundisha masomo ya
sayansi.
Nae mwalimu msimamizi wa Serikali ya wanafunzi Chambani Khamis Othman amesema imekua ni kawaida yao kila mwaka kufanya hafla hiyo ya kuwaombea dua wanamitihani wa darasa la
Comments
Post a Comment