WANDISHI WATAKIWA KUIHAMASISHA JAMII JUU YA UMUHIMU WA CHANJO YA UVIKO 19


 

AFISA MdhaminiWizarayaAfyausatawiwaJamiijinsiaWazeenaWatotoPemba,Yakob Mohamed Shoka amewataka waandishi wa Habari kutumia nafasin zao katika kuielimisha jamii kujitokeza kupatachanjo ya kujikinga na uviko 19.

Shoka ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa Habari katika hafla ya mafunzo ya uhamasishaji wa uchomaji wa chanjo uliofanyika Maabara kuu ya jamii  Kisiwani Pemba.

Amesema waandishi wananafasi kubwa ya kuifikia jamii kwa haraka katika kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kupata chanjo ya kujikinga na Virusi vya korona.



Maratib wa Huduma za Chanjo Kisiwani hapa Bakari Hamad amesema Chanjohiyo inatolewa katika Hosptali na Vituo mbalimbali vya Afya ikiwemo Hospital ya Micheweni, Wete Chakechake Pamoja na Abdala Mzee Mkoani ili kuwarahisishia wananchi kupata huduma hiyo.





 Nae Afisa muuguzi wakitengo Cha Chanjo Zanzibar Dr Huzuna Abd-rahman amewaomba wananchi kulipauzito hasa wale wenyemaradhi yasukari, presha kutokuwanyuma katika zoezi hilo.


Katika haflahiyo Jumla ya  watano wamejitokeza kupatachanjo yakujikinga na ungoja wa uviko 19.

 




Comments

Popular posts from this blog

UTELEKEZAJI WA WANAWAKE UNAVYOKATISHA NDOTO ZA WATOTO.

Mkuu wa Polisi Jamii Kaskazini Pemba akerwa na wanao wafungia ndani watoto wenye ulemavu.

Mrajisi wa Mahakama Zanzibar ahidi kula sahani moja na Mahakimu wasio wadilifu.