WAKULIMA WA VIUNGO PEMBA WAIPA TANO MRADI WA VIUNGO.
NA FATMA HAMAD PEMBA.
Wakulima wa mazao ya Viungo kisiwani Pemba wameushukuru mradi wa viungo ambao unatekelezwa kwa mashirikiano ya Tamwa Zanzibe, PDF, na CFP kwa ufadhili wa umoja wa Ulaya kwani umeweza kubadilisha maisha yao na kupiga hatua kimaendeleo.
Wakizungumza na wandishi wa vyombo mbali mbali vya
habari kwa nyakati
tofauti katika ziara maalumu iyondaliwa na Chama cha wandishi wa habari
Wanawake Tanzania oisi ya Pemba wamesema mradi wa iungo umekua ni mkombozi
kwao.
Asha ali
Omar mkulima wa Mdalasini na vanila
kutoka Gando wilaya ya Wete
alisema kabla ya kuja kwa mradi
wa viungo alikua amepanda mashina 5 tu ya mdalasini, na
akipanda pembeni mwa Nyumba yake kwani alikua hana ujuzi wa kilimo hicho.
‘’Baada ya kuja kwa mradi wa viungo na kutupatia elimu
sasa hivi nina miliki Hekari moja ya
Midalasini na Mivanila 120 yangu peke yangu alisema mkulima bi Asha.
Alisema
kilimo hicho kimekua kikimpatia tija kwani ameweza kusomeshea Watoto wake,
kujenga nyumba ya mtoto wake pamoja na
kuendeshea shughuli zake za kimaisha.
‘’Kwa kweli
kabla sijapata elimu hii ya ukulima wa Midalasini na Mivanila hali yangu ilikua
ngumu kiasi ambacho nilikua nashindwa
kuihudumia familia yangu’’ alieleza bi Asha.
Kwa upande
wake Subira Mkubwa pamoja Mohd Khamis wakulima wa kilimo cha Mananasi,
Mapensheni na Pili pili boga kutoka Kwale mpona walisema kabla ya kuja kwa
mradi wa viungo walikua wakilima kilimo cha Mihogo tu, na ilikua haiwaletei
faida kubwa.
‘’Tunaushukuru
mradi wa viungo kutupatia taaluma kwani kwa sasa tumekua tukizalisha mazo mengi kwa wingi
jambo ambalo limetuanya tupige hatua kimaendeleo.
Aidha
wakitaja faida wanazozipata kupitia
kilimo chao wamenunua Vespa, wametia umeme
Nyumbani mwao, wameanzisha fondesheni ya nyumba samba mba na
kuendeshea mahisha yao.
Mapema mkulima wa mboga mboga kutoka Vitongoji Chake chake Mkunga Hamad Sdala alisema kabla hajapata mafunzo kutoka kwa mradi wa Viungo alianzisha kilimo kwa mtaji wa shilingi Milioni moja kwani alikua akilima Pili pili na mboga za majani tu.
‘’Mradi wa
viungo umeninufaisha pakubwa kwani baada ya kupata ujuzi nimeongeza ukulima wa
Mahindi, Migomba ambapo nimefikia mtaji zaidi ya Milioni moja’’Alifahamisha bi
Mkunga.
Aliendelea
kufahamisha kuwa licha ya hayo pia alinunua mbuzi 2 baada ya
kuuza mazao aliyoyazalisha shambani
kwake.
Omar Salum Mbarouk nae mkulima wa mboga mboga wa Vitongoji aliwataka Vijana wenzake kujikita katika sekta ya kilimo ili waweze kujipatia ajira.
‘’Mimi nilikua dereva wa gari aina ya keri ila niliwacha ilikuwa hainilipi,
lakini baada ya kujingiza kwenye kilimo
kwa muda wa miezi Minne tu nilipata faida na sasahivi najenga Nyumba’’ alisema
Mkulima Salum.
‘’Kwa mwezi
uliopita kuna wakulima tuliwapatia Miche 500, 400, hadi 100 ya Midalasini na
Mivanila kwa mtu mmoja ambapo
zamani ilikua wakipanda miche Hamsini tu, kwani walikuwa hawana elimu
ya kilimo hicho’’ alisema Afisa.
Alisema
wamekuwa wakiwaunganisha wakulima wao na Masoko ya ndani na nje ili kuona
wanauza ili kuona wanauza mazao yao samba na kujipatia kipato.ndishi wa vyombo mbali mbali vya
habari kwa nyakati
tofauti katika ziara maalumu iyondaliwa na Chama cha wandishi wa habari
Wanawake Tanzania oisi ya Pemba wamesema mradi wa viungo umekua ni mkombozi
kwao.
Asha ali
Omar mkulima wa Mdalasini na vanila
kutoka Gando wilaya ya Wete
alisema kabla ya kuja kwa mradi
wa viungo alikua amepanda mashina 5 tu ya mdalasini, na
akipanda pembeni mwa Nyumba yake kwani alikua hana ujuzi wa kilimo hicho.
‘’Baada ya kuja kwa mradi wa viungo na kutupatia elimu
sasa hivi nina miliki Hekari moja ya
Midalasini na Mivanila 120 yangu peke yangu alisema mkulima bi Asha.
Alisema
kilimo hicho kimekua kikimpatia tija kwani ameweza kusomeshea Watoto wake,
kujenga nyumba ya mtoto wake pamoja na
kuendeshea shughuli zake za kimaisha.
‘’Kwa kweli
kabla sijapata elimu hii ya ukulima wa Midalasini na Mivanila hali yangu ilikua
ngumu kiasi ambacho nilikua nashindwa
kuihudumia familia yangu’’ alieleza bi Asha.
Kwa upande
wake Subira Mkubwa pamoja na mume wake Ali Khamis Abdala wakulima wa kilimo cha Mananasi,
Mapensheni na Pili pili boga kutoka Kwale mpona walisema kabla ya kuja kwa
mradi wa viungo walikua wakilima kilimo cha Mihogo tu, na ilikua haiwaletei
faida kubwa.
‘’Tunaushukuru
mradi wa viungo kutupatia taaluma kwani kwa sasa tumekua tukizalisha mazo mengi kwa wingi
jambo ambalo limetuanya tupige hatua kimaendeleo.
Aidha
wakitaja faida wanazozipata kupitia
kilimo chao wamenunua Vespa, wametia umeme
Nyumbani mwao, wameanzisha fondesheni ya nyumba samba mba na
kuendeshea mahisha yao.
Mapema
mkulima wa mboga mboga kutoka Vitongoji Chake chake Mkunga Hamad Sdala alisema kabla hajapata mafunzo
kutoka kwa mradi wa Viungo
alianzisha kilimo kwa mtaji
wa shilingi Milioni moja kwani
alikua akilima Pili pili na mboga za majani tu.
‘’Mradi wa
viungo umeninufaisha pakubwa kwani baada ya kupata ujuzi nimeongeza ukulima wa
Mahindi, Migomba ambapo nimefikia mtaji zaidi ya Milioni moja’’Alifahamisha bi
Mkunga.
Aliendelea
kufahamisha kuwa licha ya hayo pia alinunua mbuzi 2 baada ya
kuuza mazao aliyoyazalisha shambani
kwake.
Omar Salum
Mbarouk nae mkulima wa mboga mboga wa Vitongoji aliwataka Vijana wenzake
kujikita katika sekta ya kilimo ili waweze kujipatia ajira.
‘’Mimi nilikua dereva wa gari aina ya keri ila niliwacha ilikuwa hainilipi,
lakini baada ya kujingiza kwenye kilimo
kwa muda wa miezi Minne tu nilipata faida na sasahivi najenga Nyumba’’ alisema
Mkulima Salum.
Nae Afisa
kutoka mradi wa Viungo Pemba Hadhir Ilibasi Sezero alisema kutokana na elimu ambayo
wanawapatia wakulima kumesaidia
kwa kiasi kikubwa kwani wamekuwa wakiongeza uzalishaji jambo ambalo litawawezesha kutatua changamoto
za maisha yao.
‘’Kwa mwezi
uliopita kuna wakulima tuliwapatia Miche 500, 400, hadi 100 ya Midalasini na
Mivanila kwa mtu mmoja ambapo
zamani ilikua wakipanda miche Hamsini tu, kwani walikuwa hawana elimu
ya kilimo hicho’’ alisema Afisa.
Alisema
wamekuwa wakiwaunganisha wakulima wao na Masoko ya ndani na nje ili kuona
wanauza ili kuona wanauza mazao yao samba na kujipatia kipato.
Comments
Post a Comment