WALIMU WA MADRASA WAENDELEZA VIPAJI VYA QUR AN
Hayo
yamesemwa na Mmoja wa wazazi wa
wanafunzi wa madarasa za kurana Ali Hamad Bakari katika hafla ya mashindano ya tahfidh lkuran
yaliofanyika Viwanja vya mpira Pwepweu viliopo Tumbe wilaya ya Micheweni Mkoa waKaskazini
Pemba amesema uhifadhi wa kurani ni
suala muhimu kwani hupelekea kuwepo na kizazi
chenye madili.
‘’Mashirikiano
ya pamoja ndio njia pekee inayopelekea wanafunzi kuendeleza masomo yao na
kuibua vipaji’’ alieleza mzazi.
Akitoa
nasaha zake mara bada ya kumalizika kwa
mashindano hayo Msaidizi wa Katibu mtendaji Ofisi ya Mufti mkuu upande wa Pemba
Said Ahmad amewawataka walimu wa madrasa kuliendeleza
suala la uhifadhi wa guranai
ili kuviendeleza viapaji hivyo
ili kuweza kukipatia sifa nzuri Kisiwa cha Pemba.
Mashindano
hayo yamefadhiliwa Jumuia ya Falmunir
Khalid Fondation yenye makazi yake Darsalam.
Comments
Post a Comment